Nenda kwa yaliyomo

Wikipedia ya Kitatar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 11:35, 5 Oktoba 2022 na Riccardo Riccioni (majadiliano | michango)
(tofauti) ← Pitio lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Pitio linalofuata → (tofauti)

Wikipedia ya Kitatar (kwa Kitatar: Татар Википедиясе) ni toleo la Wikipedia kwa lugha ya Kitatar.

Ilizinduliwa mnamo Septemba 2003,[1] na kwa sasa ina makala 417,678, kuifanya Wikipedia ya 33 kwa ukubwa kwa idadi ya makala.

Wikipedia hiyo ina wasimamizi pamoja na watumiaji 43,577 waliosajiliwa na watumiaji 85 wanaofanya kazi.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Wikipedia Statistics - Tables - Tatar". stats.wikimedia.org. Iliwekwa mnamo 2022-10-05.
  2. "WikiStats - List of Wikipedias". wikistats.wmcloud.org. Iliwekwa mnamo 2022-10-05.