Nenda kwa yaliyomo

Kioo cha rangi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.
Matukio mbalimbali ya maisha ya Yesu katika kanisa kuu la Milano, Italia.
Mfalme Daudi katika kanisa kuu la Augsburg, Ujerumani, 1130 hivi.
Katika kuba la basilika la Santa Maria degli Angeli e dei Martiri, Roma, Italia.
Kazi za Arnaldo Dell'Ira, 1930 hivi.

Kioo cha rangi (kwa Kiingereza "Stained glass") ni aina ya sanaa inayotumia rangi mbalimbali za kioo kuonyesha sura maalumu au kupendeza tu kwa uzuri.

Kwa kawaida kinatumika katika madirisha, hasa ya makanisa, lakini asili yake ni Dola la Roma katika karne ya 1.


Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: