Nenda kwa yaliyomo

Kiut-Ma'in

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.

Kiut-Ma'in (pia Kifakanci au au Kifakai) ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Wafakai. Baadhi ya lahaja za Kiut-Ma'in ni Kikag, Kifer, Kijiir, Kikoor, Kiror na Kizuksun. Mwaka wa 1992 idadi ya wasemaji wa Kiut-Ma'in imehesabiwa kuwa watu 36,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiut-Ma'in iko katika kundi la Kikainji.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiut-Ma'in kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.