Ameta
Mandhari
![](https://cdn.statically.io/img/upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3d/Amperemeter_hg.jpg/220px-Amperemeter_hg.jpg)
Ameta (pia amita; kutoka Kiingereza "en:ammeter" ambayo ni kifupi cha "ampere meter") ni kifaa kinachotumika kupima nguvu ya mkondo wa umeme kwa vizio vya ampea.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |