Meja
Mandhari
![](https://cdn.statically.io/img/upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/8/81/Meja_%28Tanzania_Army_OF-03%29.png)
Meja (kwa Kiingereza: Major) ni cheo cha afisa wa jeshi kilicho chini ya Luteni Kanali na juu ya Kapteni au Nahodha katika jeshi la wanamaji.[1]
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
![]() |
Vyeo vya kijeshi - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Jenerali * Luteni Jenerali * Meja Jenerali * Brigedia * Kanali * Luteni Kanali * Meja * Kapteni * Luteni * Luteni-usu Afisa Mteule Daraja la Kwanza * Afisa Mteule Daraja la Pili * Sajinitaji * Sajenti * Koplo * Koplo-usu |
- ↑ "Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania". www.tpdf.mil.tz. Iliwekwa mnamo 2024-05-25.