Nenda kwa yaliyomo

Mkoa wa Lacs

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Mkoa wa Lacs
Mahali paMkoa wa Lacs
Mahali paMkoa wa Lacs
Mahali pa Mkoa wa Lacs katika Cote d'Ivoire
Majiranukta: 6°50′N 5°10′W / 6.833°N 5.167°W / 6.833; -5.167
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Côte d'Ivoire
Wilaya 5
Mji mkuu Yamoussoukro
Eneo
 - Jumla 8.663 km²
Idadi ya wakazi (1998)
 - Wakazi kwa ujumla 476.173
GMT (UTC+0)

Mkoa wa Lacs (kwa Kifaransa: Région des Lacs) ni moja kati ya mikoa 19 ya huko nchini Cote d'Ivoire, kabla ya 2011. Iko katika kitovu cha nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 476.173. [1]

Kuna tarafa tano ambazo ni

Makao makuu yako Yamoussoukro.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Namba za sensa ya mwaka 1998 kufuatana na