Nenda kwa yaliyomo

Kituo cha polisi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

Kituo cha polisi (wingi vituo vya polisi)

  1. Mahali ambapo polisi wanapatikana wakifanya kazi zao za kulinda usalama raia na mali zao.
    Mfano: Alikwenda kituo cha polisi kuripoti wizi wa gari lake.

Tafsiri[hariri]